Rais Xi Jinping wa China amesema ana imani kubwa na matarajio mazuri ya uhusiano wa China na Ufaransa. R
Rais Xi amesema hayo alipokutana na rais wa zamani wa Ufaransa Francois Hollande katika nyumba ya kufikia viongozi ya Diaoyutai hapa Beijing
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |