Timu ya taifa ya Kenya ya wanawake ya mchezo wa Raga imetwaa ubingwa wa Afrika baada ya kushinda mechi ya fainali dhidi ya Uganda kwa alama 27-9 mjini Gaborone nchini Botswana.
Kenya walifika fainali baada ya kushinda mechi zote za hatua ya awali, kwa kushinda mechi zote za hatua ya makundi, na kwenye mechi ya nusu fainali ikaifunga Madagascar kwa alama 42-0.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |