• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • China yatoa wito kwa Palestina na Israel kusitisha mapambano na kurejesha mazungumzo

    (GMT+08:00) 2018-06-01 09:26:47

    Mjumbe maalumu wa China anayeshughulikia suala la Mashariki ya Kati Bw. Gong Xiaosheng amesisitiza kuwa Palestina na Israel zinapaswa kusitisha mara moja mapambano, na kurejea mapema kwenye meza ya mazungumzo, ambayo ni njia pekee ya kutatua mgogoro kati ya nchi hizo mbili kwa njia ya kisiasa. Bw. Gong ambaye yuko ziarani nchini Misri amesema China inaona jumuiya ya kimataifa inapaswa kuendelea kusukuma mbele Mpango wa Nchi Mbili, na kuendelea na juhudi za kiujenzi za kuhimiza utatuzi wa kisiasa wa suala la Palestina, kwa mujibu wa maazimio ya Umoja wa Mataifa na makubaliano husika ya kimataifa.

    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako