Mwenyekiti mteule wa Baraza kuu la Umoja wa mataifa Bibi Maria Fernanda Espinosa ameahidi kuifanya kazi ya Umoja wa mataifa iwe na uwazi zaidi na ipatikane kwa urahisi zaidi kwa umma. Akikutana na wanahabari baada ya kuchaguliwa kuchukua wadhifa huo, Bibi Espinosa amesema huu ni wakati kuufanya Umoja wa Mataifa uwe karibu zaidi na watu.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |