Mechi nyingine ilipigwa kati ya Uruguay na Saudi Arabia, kwa mara ya kwanza katika historia ya kombe la dunia, timu ya taifa ya Uruguay imefanikiwa kishinda michezo miwili ya mwanzo katika kombe hili, goli la Luis Suarez kunako dakika ya 23 lilitosha kuirudisha Saudi Arabia nyumbani. Uruguay ilipata ushindi wa 1-0 dhidi ya Saudi Arabia na kufanikiwa kutinga 16 bora .
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |