Akizungumzia michuano hiyo, rais wa shirikisho la mpira wa kikapu Tanzania Fares Magesa amesema changamoto za kiuchumi zimesababisha timu nyingi kushindwa kushiriki.
mashindano ya vijana husaidia kukuza mpira wa kikapu katika kanda ya tano inayojumuisha mataifa 12, yakiwemo Misri, Ethiopia, Burundi na DRC ambazo hazijaleta wanamichezo wake.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |