• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • Wakulima wanaangalia hasara baada ya India kupiga marufuku uagizaji wa 'ndengu'

    (GMT+08:00) 2018-06-25 19:45:36

    Serikali ya India imepinga marufuku uagizaji wa ndengu, au pojo kwa sababu wakulima wake walikuwa na mavuno makubwa, jambo ambalo tayari limeuuwa ndoto za mamilioni ya wakulima wa kenya.

    Kwa miaka mingi, ndengu ya Kenya imekuwa ikiuzwa katika masoko ya Asia, na wakulima walipata sh 80 kwa kilo. Lakini Msimu huu, bei zimeshuka chini hadi Sh40 kwa kilo.

    Kwa mara ya kwanza wakulima wa ukambani, wamezalisha mavuno ya mbegu isiyo na soko.

    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako