Viongozi hao wamesema mtumishi yeyote wa umma anaekataa kuchunguza mali zake anafaa kuadhibiwa na rais ili kuimarisha vita dhidi ya ufisadi.
Hatua hii inajiri baada ya kukithiri kwa visa vya uhalifu katika idara tofauti za umma nchini Kenya hususan sakata la hivi majuzi la ubadhirifu wa fedha za vijana na sakata la sukari.
Watumishi wa umma wamekumbwa na kashfa za kutumia fedha za serikali bila uwajibikaji.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |