Rais Paul Kagame amesema gari hilo limedhihirisha bayana kwamba bara la Afrika linaelekea kusitisha kabisa utumiaji wa magari ya mitumba .
Biashara hiyo sasa inaifungulia Rwanda jukwaa lipya la ajira na fursa ya mapinduzi ya uchumi nchini humo.
Rwanda imewekeza dola milioni 20 kwa kutenegeneza units elfu 1 hadi 5 za magari kuingia katika soko la kimataifa.
Magari ya mitumba yamedaiwa kufilisisha wateja pamoja na kuchafua mazingira
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |