Waziri Ahmed ametangaza haya katika mkutano wa wataalamu wa mafuta.
Kampuni iliyopewa zabuni ya uchimbaji imesema itajaribu kuchimba mapipa 450 ya mafuta kila siku kabla ya kuanza uchimbaji wa madini ya gesi mwezi ujao.
Ethiopia itapata dola bilioni 8 kila mwaka itakapoanza kuuza gesi yake kwa nchi za nje .
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |