Mechi nyingine zilipigwa usiku wa kuamkia leo
(GMT+08:00) 2018-06-29 09:13:06
Ubelgiji imeichapa Uingereza kwa goli 1-0 huku Tunisia ikiishinda Panama kwa magoli 2-1. Uingereza na Ubelgiji tayari zimeshafuzu hatua ya 16 bora. Tunisia na Panama wamekamilisha ratiba na kurejea majumbani kwao.