Katibu mkuu wa Chama cha Kikomunisti cha China Bw. Xi Jinping jana alipoendesha semina elekezi ya Ofisi ya siasa ya Kamati Kuu ya Chama cha Kikomunisti cha China, amesisitiza kushikilia ujenzi wa siasa wa Chama.
Xi Jinping amesema, ni lazima kushikilia mwelekeo sahihi wa siasa, kushikilia uongozi wa Chama, kuimarisha msingi wa siasa, kuboresha mazingira ya siasa, kuepusha hatari ya siasa, kuongeza uwezo wa siasa, ili kuhakikisha Chama cha Kikomunisti cha China kinapata ushindi bila kusita.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |