Kwa mujibu wa kocha msaidizi wa RRA Jean de Dieu Masumbuko michuano hiyo itatumika kama maandalizi kwa ajili ya michuano mikubwa ya Afrika ya mwaka 2019.
Katika hatua nyingine, RRA imefanikiwa kushinda ubingwa wa Rwanda kwa kuwafunga wapinazni wao wa kihistoria APR mwezi uliopita.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |