Pweza huyo aliyekuwa akifahamika kwa jina la Rabio amejizolea umaarufu mkubwa kwenye michuano hii kutokana na umahiri wake katika kubashiri mshindi wa mechi husika.
Mmiliki wa pweza huyo ambaye ni mvuvi anayetambulika kwa jina la Lakini Kimio Abe amesema kuwa ameamua kumuuza na kugeuzwa kitoweo kwa kuwa amebaini atajizolea kitita kikubwa cha fedha kuliko kama angeendelea na utabiri ambao haujamnufaisha licha ya kupatia.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |