• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • JKU yafuzu nusu fainali, yaishinda Singida United

    (GMT+08:00) 2018-07-10 10:09:18

    JKU ya Zanzibar jana imefuzu nusu fainali ya michuano ya Kombe la Kagame kwa kuishinda Singida United kwa njia ya penati 4-3.

    Kwenye mechi ya nusu fainali itakayopigwa kesho jumatano, JKU itakutana na Simba ambayo iliishinda AS Ports ya Djibouti.

    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako