JKU ya Zanzibar jana imefuzu nusu fainali ya michuano ya Kombe la Kagame kwa kuishinda Singida United kwa njia ya penati 4-3.
Kwenye mechi ya nusu fainali itakayopigwa kesho jumatano, JKU itakutana na Simba ambayo iliishinda AS Ports ya Djibouti.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |