Mechi za Nusu fainali za michuano ya kombe la Kagme zinapigwa leo mjini Dar es Salaam, nchini Tanzania ambapo katika mchezo wa kwanza utakaopigwa saa nane mchana kwa saa za Afrika Mashariki, Azam FC itacheza dhidi ya Gor Mahia.
Na mchezo wa pili utazikutanisha timu za JKU kutoka Zanzibar na Simba ya Dar es Salaam saa kumi jioni.
Washindi katika mechi mbili za leo, watakutana kwenye mchezo wa fainali ijumaa Julai 13.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |