Kubadilishwa kwa jina hilo kunafanyika mwaka mmoja hivi baada ya Barclays kuuza baadhi ya hisa zake zilikokuwa kwenye benki ya Absa ambayo ni ya tatu kwa ukubwa nchini Afrika Kusini.
Kwa sasa Barclays nchini Afrika Kusini inatumia jina la Absa na baadaye matawi yote ya benki hiyo barani Afrika yatabadili jina.
Barclays ilinunua asilimia 62 za Absa mwaka 2005, lakini ikapunguza hadi asilimia 15 kwa kuuzia wawekezaji wakubwa.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |