Mkutano huo ambao awali ulikuwa ufanyike nchini Burundi utahudhuriwa na nchi 17 kati ya 19 za COMESA.
Watalaam hao wanajadili miongoni mwa mambo mengine utekelezaji wa mipango ushirikiano wa kikanda.
Kulingana na Makao makuu ya COMESA maudhui ya mkutano wa mwaka huu ni kuelekea muungano wa kiuchumi wa kidijitali.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |