Kiungo Mcolombia, Juan Cuadrado amekubali kiroho safi kumuachia jezi yake namba 7 mchezaji mpya wa Juventus, Cristiano Ronaldo. Cuadrado ndiye alikuwa anaitumia jezi hiyo.
Lakini baada ya kusajiliwa kwa Ronaldo akitokea Real Madrid, amelazimika kumuachia kutokana na umaarufu wa mchezaki huyo.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |