Wanasema hatua hiyo itaimarisha bei.
Wakulima wamelalamika bei ya madalali imeshuka kutoka Sh2, 500 hadi Sh2, 000 kwa kila mfuko wa 90kg ndani ya wiki mbili.
Wakulima wamesema wanataka wasagaji angalau Sh3, 500 kwa kila mfuko, amasivyo watapata hasara kubwa.
Walilalamika kuwa gharama za uzalishaji kwa ekari ziliongezeka kutoka Sh11,000 miaka miwili iliyopita hadi Sh18,000 mwaka huu.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |