Kupitia mkutano wake na waandishi wa habari jana, Wambura amesema ligi hiyo itahusisha jumla ya mechi 380 kutoka 240 ambazo zilichezwa msimu uliopita kutokana na ongezeko la timu.
Msimu huu utakuwa na jumla ya timu 20 kutoka timu 16 za msimu uliopita, mecgi yenye msisimko mkubwa ni ya watani wa jadi Simba na Yanga ikitarajiwa kuchezwa Septemba 30 uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |