Kenya imeshinda kwa alama 10, Uganda ikifuatia kwa alama 8, Tanzania wao wameambulia nafasi ya tatu kwa kupata alama 6.
Timu ya Rwanda ambayo ndio walikuwa wenyeji haikushinda mechi yoyote kati ya 6 walizozicheza na haina hata alama moja.
Kwa matokeo hayo, Kenya na Ugandawamekata tiketi ya kucheza dhidi ya timu za kanda nyingine za Afrika kwa ajili ya kuchagua watakaoshiriki kombe la Dunia 2020 nchini Australia.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |