Watu zaidi ya 11 wameuawa na wengine wanane kujeruhiwa katika shambulizi la kujitoa mhanga kwenye msikiti mmoja jimboni Borno, kaskazini mashariki mwa Nigeria.
Watu walionusurika kwenye shambulizi hilo wamesema, mwanamume mmoja aliingia msikiti wakati wa sala ya asubuhi kama waumini wengine na baadaye kulipua mabomu aliyokuwa amevaa.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |