Taarifa ya TFF iliyotolewa jana usiku imesema, Starkie anatarajiwa kuwasili leo jijini Dar es Salaam baada ya kuruhusiwa na Leicester City, mabingwa wa zamani wa ligi kuu ya wakubwa England.
Atajiunga na Serengeti Boys ambayo inajiandaa kushiriki michuano maalum ya vijana Afrika Mashariki na Kati ijulikanayo kama CECAFA Zonal Qualification.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |