Kocha wa timu ya taifa ya England Gareth Southgate pia yuko kwenye orodha hiyo baada ya kuwaongoza kufika nusufainali Kombe la Dunia kwa mara ya kwanza tangu 1990.
Meneja wa Manchester City Pep Guardiola, Jurgen Klopp wa Liverpool na kocha wa Ubelgiji Roberto Martinez wameorodheshwa pia.
Kocha wa timu ya kinadada ya Chelsea Emma Hayes yupo kwenye orodha ya makocha wa kike.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |