Mashindano ya kijeshi ya kimataifa ya mwaka 2018 yaliyoandaliwa na Jeshi la ardhi la China yameanza rasmi huko Korla mkoani Xinjiang, China.
Vikosi 17 vya ardhi kutoka nchi 10 zikiwemo China, Russia, Misri, Iran na Zimbabwe, vitashindana ustadi wa kijeshi kwenye mashindano hayo yaliyoanza jana hadi tarehe 11 Agosti.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |