Rais Muhammadu Buhari wa Nigeria amechaguliwa kuwa mwenyekiti mpya wa Jumuiya ya Kiuchumi ya Nchi za Afrika Magharibi (ECOWAS).
Rais Buhari anachukua nafasi hiyo kutoka kwa rais Faure Gnassingbe wa Togo, katika mkutano wa kawaida wa 53 wa wakuu wa nchi wanachama wa ECOWAS uliofanyika Lome, Togo.
Mwenyekiti huyo mpya wa ECOWAS amepanga kufanya kazi katika maeneo ya amani, usalama, utawala bora, na maendeleo ya uchumi na jamii.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |