Kocha wa mabingwa hao Dylan Kerr, alifanya mabadiliko makubwa kwa kikosi kilichocheza dhidi ya Yanga SC mjini Dar es Salaam Jumapili katika mechi ya kuwania ubingwa wa Kombe la shirikisho barani Afrika (CAF) ambapo walishinda 3-2.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |