Safarai za shirika hilo zinatarajiwa kuzinduliwa baadaye mwezi Oktoba.
Mkuu wa mauzo kwenye shirika hilo, Julius Thairu, amesema tayari asilimia 80 ya safari ya kwanza imelipiwa.
Nauli ya chini kwenye safari ya kwanza ni dola 732 kwenda na kurudi.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |