Mkutano wa kilele wa Baraza la ushirikiano kati ya China na Afrika utafanyika tarehe 3 na 4 mwezi Septemba mjini Beijing. Kabla ya kufunguliwa kwa mkutano huo, kitabu kiitwacho "Kwenda Bara la Afrika" kimetolewa leo hapa Beijing, ambacho kinalenga kuwajulisha wachina hali mbalimbali za Afrika na kuimarisha urafiki kati ya wananchi wa China na Afrika.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |