Kipa wa Real Madrid Kyles Navas ametwaa tuzo ya golikipa bora wa michuano ya UEFA msimu wa mwaka 2017/2018. Huku beki kisiki wa Real Madrid, Sergio Ramos ametwaa tuzo ya beki bora.
Aidha Christiano Ronaldo ametwaa tuzo ya mshambuliaji bora huku mkongwe David Beckham akipokea tuzo ya heshima kutokana na mchango wake katika soka.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |