Rais Petro Poroshenko wa Ukraine amewasilisha rasimu ya sheria bungeni itakayowekwa kwenye katiba kuhusu matarajio ya nchi hiyo kujiunga na Shirika la NATO na Umoja wa Ulaya. Mwakilishi wa rais bungeni Bibi Iryna Lutsenko ametoa taarifa kwenye mtandao wa kijamii ikisema, rasimu hiyo ya sheria inalenga kurekebisha utangulizi wa katiba, vipengele vitatu na kanuni za mpito.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |