Kupitia kwa mtandao wake wa Twitter, bingwa huyo mara mbili wa Berlin Marathon alisema jana, "Berlin ni mji spesheli kwangu, nasubiri kwa hamu kubwa kurejea uwanjani kushindania taji la Berlin Marathon tena."
Kipchoge atakuwa akiwinda taji lake la tatu jijini Berlin baada ya kuibuka mshindi mwaka 2015 na 2017.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |