Mikakati hiyo iliwekwa juzi katika kikao kilichoandaliwa na Bodi ya Korosho Tanzania (CBT) na kuhudhuriwa na wakulima, wanunuzi na viongozi wa halmashauri zote za Tanga.
Miongoni mwa changamoto zilizotajwa ni kuchelewa kufunga minada ya ununuzi hivyo kutoa nafasi kwa walanguzi kununua nje ya mfumo rasmi kisha kuzitorosha nje ya nchi.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |