Waziri wa viwanda na madini Youcef Yousfi,amesema mradi huo unalenga kusaidia nchi hiyo kuanza kuzalisha bidhaa za madini hayo kama vile mbolea.
Ushirikiano huo utakuwa kati ya kampuni mbili za Algeria Sonatrach na Semidal-Manal, na mbili za China CITIC na Wengfu Group.
Mgao wa China kwenye mradi huo ni asilimia 49 huku Algeria ikimiliki mgao mkubwa wa asilimia 51.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |