Kama kawaida ya mechi hukutanisha mahasimu wakubwa wawili wa soka Afrika Mashariki wenye mashabiki lukuki ndani na nje ya Tanzania. Huku mashabiki wa kila timu wakianza tambo zao, shirikisho la soka Tanzania (TFF) limetangaza waamuzi wa mchezo huo, huku muamuzi wa kati akitajwa mwanama Jonesia Rukyaa kutoka mkoa wa Kagera. Rukyaa atasaidiana na Ferdinand Chacha pamoja na Mohamed Mkono na mwamuzi wa Mezani atakuwa Elly Sasii.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |