• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • Katibu mkuu wa Umoja wa Mataifa atoa wito kutokomeza kikamilifu silaha za nyuklia

    (GMT+08:00) 2018-09-27 19:15:15

    Katibu mkuu wa Umoja wa Mataifa Bw. Antonio Guterres ametoa wito kwa jumuiya ya kimataifa kufanya juhudi za pamoja kuanzisha tena mazungumzo ya dhati ili kuondoa kabisa silaha za nyuklia na kutimiza ahadi za kupunguza silaha za nyuklia.

    Bw. Guterres amesema hayo kwenye mkutano wa ngazi ya juu wa Baraza Kuu la 73 la Umoja wa Mataifa, ikiwa ni maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya kuondoa silaha za nyuklia. Ameongeza kwamba silaha za nyuklia zinatishia usalama wa dunia na binadamu wote, na kutoa wito kwa nchi mbili kubwa zenye silaha za nyuklia Marekani na Russia kuanzisha tena mazungumzo ya kupunguza silaha la nyuklia.

    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako