Watu zaidi ya 319 wameuawa katika miezi mitano iliyopita ya kutokuwa na sheria katika maeneo yanayodhibitiwa na waasi mkoani Idlib, kaskazini magharibi mwa Syria. Shirika la Uangalizi wa Haki za Binadamu la Syria limesema wapiganaji 250 ni sehemu ya watu hao waliouawa na wengine waliofariki ni raia waliouawa katika milipuko.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |