Uchumi wa Kenya inakadiriwa kuwa imeongezeka kwa asilimia 6.3 katika kipindi cha miezi mitatu hadi Juni 30, ikilinganishwa na asilimia 4.7 kwa kipindi hicho mwaka jana.
Hii ni ukuaji wa robo wa juu zaidi katika miaka mitano.
Mwaka 2013, nchi iliandikisha ukuaji wa robo wa pili wa asilimia 7.5.
Takwimu za muda na Ofisi ya Takwimu ya Kenya zinaonyesha kwamba deni la nje la nchi limeongezeka kwa Ksh bilioni 265.5 wakati wa kipindi cha miezi mitatu.
Hii ilitokana na uongezekaji wa mikopo ya kibiashara na serikali yenye thamani ya Ksh bilioni 906.4.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |