Habari zilizothibitishwa na polisi ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo zinasema, ajali ya loro la mafuta lililotokea leo asubuhi katika sehemu karibu na mji wa Kisantu, kusini magharibi mwa Kinshasa imesababisha vifo vya watu wasiopungua 50.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |