Wazalishaji wanaona vigumu kufanya biashara D.R Congo na Kusini mwa Sudan kutokana na dhamana ya nje, Chama cha Wazalishaji Uganda, (UMA), imesema
Dhamana ya kuuza nje inalinda wauzaji dhidi ya kukosa kulipwa na kawaida hutolewa na serikali.
Bw Richard Mubiru, mkurugenzi mtendaji wa UMA, ameambia Waziri wa Biashara, Amelia Kyambadde kwamba ukosefu wa dhamana ya mauzo ya nje ya nchi, inafanya kuwa vigumu kwa wafanyabiashara kuingia katika nchi tete kama DR Congo na Sudan Kusini.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |