Nadal ameruhusu wahanga hao kuishi katika taasisi yake hiyo na kuwapatia huduma zote wanazotakiwa.
Hadi sasa jumla ya watu 10 wamepoteza maisha kutokana na mafuriko hayo.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |