Mwijage amesema hayo wakati akizindua kiwanda cha kuzalisha vilainishi vya mitambo na mashine cha Lake Lubes kilichopo Kigamboni.
Aidha katika tukio hilo Mwijage amewapigia debe waajiriwa wa kampuni mbalimbali akisema wafanyakazi wanatakiwa kulipwa mishahara minono ili wachagie katika kodi za Serikali kupitia makato ya mishahara na manunuzi wanayofanya.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |