Kiasi hicho kitatolewa kwa wabunifu hodari watakaokuwa na mawazo yanayogusa jamii kwa kiasi kikubwa.
Mkurugenzi wa uhusiano na sheria wa kampuni hiyo, Masha Kileo amesema fedha hizo zitatolewa kwa washindi watatu wa shindano wanaloliendesha na kuwahusisha vijana wote wenye mawazo mazuri lakini wanakabiliwa na ukosefu wa mtaji kuyafanikisha.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |