Pasipo kutarajiwa na wengi Cavani ameweza kutwaa tuzo hiyo mbele ya wachezaji bora duniani, Cristiano Ronaldo na Lionel Messi.
Tuzo ya Golden Foot award huwandaliwa na World Champions Club ambapo lengo kuu ni kutambua mafanikio ya wachezaji wa kulipwa ambao wamefanikiwa kucheza kuanzia mechi 28 na kuendelea kuhu mshindi wake hupatikana baada ya kupigiwa kura na umma,vyombo vya habari na watambuzi.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |