Waziri amewaomba wafanyabiashara wote kuja na bidhaa zenye ubora unaostahili ili kwenye tamasha hilo litakalofanyika kwenye viwanja vya Maisara. Aidha fursa hii itasaidia sana kuiuza Zanzibar kwa mataifa ya nje kama taifa lenye kivutio kwa utalii hivyo basi kuongeza pato lake. Wazanzibar wamehimizwa kukuza biashara yao na kuthamini bidhaa zinazozalishwa nchini mwao.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |