Mashirika hayo yanasema moja ya fursa kubwa ya kufanikisha azma hiyo ni ujasiriamali ambao una uwezo wa kuweka mazingira ya faida kwa pande zote, yaani kwa wakimbizi na wahamiaji na nchi zinazowahifadhi.
Kwa mujibu wa mashirika hayo, sera hiyo mpya inatoa mwongozo kwa vitendo kwa nchi zinazohifadhi wahamiaji na wakimbizi , wadau wa maendeleo na wa misaada ya kibinadamu, wa jinsi gani ya kuhakikisha kwamba wakimbizi na wahamiaji wanatumia ujuzi na uwezo walionao kujenga maisha yao na wakati huohuo kuchangia katika jamii zinazowahifandi na uchumi.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |