Kocha Salum ametangaza kikosi hicho kwenye ukumbi wa uwanja wa Amaan, katika mkutano na waandishi wa habari uliofanyika jana mchana.
Wachezaji hao watafanyiwa mchujo na kubakisha wachezaji 25 kuunda timu ya Taifa ya U20 ya Zanzibar.
Aidha kocha Salum Ali amesema wachezaji hao waje na vyeti vyao halisi vya kuzaliwa wawe wamezaliwa January mwaka 2000 ili kupata umri sahihi.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |