Mshambuliaji wa Al Ahly ya Morocco Walid Azaro atakosa mechi hiyo baada ya kufungiwa mechi mbili na kamati ya nidhamu ya shirikisho la soka Afrika (CAF).
Al Ahly inahitaji sare tu ya aina yoyote au kufungwa kwa tofauti ya goli moja tu ili kutwaa taji hilo la ligi ya mabingwa Afrika.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |