Kupitia mitandao yake ya kijamii, McGregor ameandika maneno makali yanayomhusu Floyd baada ya kutangaza rasmi kuzipiga na mpambanaji huyo wa 'kickboxer.
Lakini kauli hizo zimejibiwa na Mayweather kuwa kwenye mchezo wa masumbwi hakuna alichobakiza zaidi ya kutazama mkwanja anaoingiza baada ya pambano hilo.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |